MIILI YA MASHUJAA 7 WA JWTZ WALIUAWA SUDAN YAWASILI DAR

 Moja ya majeneza yenye miili ya Askari 7  waliuawa na waasi wakilinda amani Darfur, Sudan, likishushwa kutoka kwenye ndege ya Umoja wa Mataifa (UN), baada ya kuwasili leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.


                           Baadhi ya wanafamilia wakiwa na huzuni wakati wa mapokezi hayo



Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal (kulia), akiwa na  baadhi ya viongozi waliofika kupokea miili hiyo.




Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI