MMM


HIVYO NDIVYO USIKU WA TUDD THOMAS ULIVYO FANA NDANI YA DAR LIVE               

Chegge akiwadatisha wapenzi wa burudani wa Dar Live katika Usiku wa Tudd Thomas.
Izzo B akiongea na Mshua ndani ya Dar Live.
Mwanamuziki Marlaw akiwabembeleza mashabiki wa Dar Live.
Tundaman akiwarusha mashabiki.
Mhe. Temba akifanya makamuzi katika Usiku wa Tudd Thomas.
Wanadada kutoka Scorpion Girls, Jini Kabula (kulia) na Isabela Mpanda wakiwadatisha mashabiki.
Mashabiki wakifuatilia burudani ndani ya Dar Live.
Linex akisema na mashabiki wake.…Akijichanganya na mashabiki.
Makomandoo wakionyesha umahiri wao stejini.
Msanii Amin akitoa burudani stejini.
Queen Darleen akifanya vitu vyake.
Quick Lacka akipagawisha.
Baghdad akiwapa raha mashabiki.
Madansa wa Tundaman wakilishambulia jukwaa la Dar Live.
Wasanii mbalimbali wakiwemo Marlaw, Izzo B, Chegge, Tundaman, Mhe. Temba, Amin, Queen Darleen, Quick Lacka, Baghdad, Scorpion Girls, Makomandoo na wengineo usiku wa kuamkia leo walifanya makamuzi ya nguvu katika Tamasha la Usiku wa Prodyuza Tudd Thomas lililofanyika kwenye Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo pande za Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.
(PICHA NA ISSA MNALLY / GPL)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI