MSTAHIKI MEYA JERRY SILAA AKUTANA NA MKURUGENZI WA MASOKO NA MAUZO WA MAKAMPUNI YA MeTL GROUP HUSSEIN DEWJI KATIKA MAONESHO YA SABASABA.

IMG_8869
Muonekano wa Banda la MeTL Group lililopo kwenye maonyesho ya 37 kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
IMG_8862
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akiwa na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Makampuni ya MeTL Group Hussein Dewji wakati alipotembelea Banda la Kampuni hiyo kwenye maonyesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea katika uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
IMG_8860
Mstahiki Meya Jerry Silaa akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Makampuni ya MeTL Group Bw. Hussein Dewji ambapo pia alimpongeza kwa bidhaa nzuri wanazozalisha katika kampuni yao.
IMG_8866
Mstahiki Meya Jerry Silaa akiendelea kuzungukia bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na Kampuni ya MeTL Group kwenye banda hilo.
IMG_8857
Mstahiki Meya Jerry Silaa akisalimiana na warembo wanaotoa huduma katika banda hilo ambao wamevalia Khanga zinazotengenezwa kiwanda cha 21 Century Textile cha MeTL .
IMG_3829
Pichani juu na Chini ni Wananchi wakimiminika kwenye Banda la kampuni ya MeTL Group kujipatia mahitaji mbalimbali ya nyumbani zikiwemo Sabuni za kufulia, Unga, Mafuta ya kupikia, Vitenge, Khanga na vingine vingi.
IMG_3840 IMG_3848 IMG_3867
Baadhi ya Kinamama wakisaidiwa kuchagua Khanga na Vitenge na mmoja wa warembo nadhifu wa MeTL wanaotoa huduma kwa wateja katika banda hilo.
IMG_3880
Bidhaa mpya ya Kampuni ya MeTL Group "Sheeba Shake" yenye ladha tatu za kuvutia ikiwemo Vanilla, Chocolate na Banana. Kinywaji hicho kitaingia mtaani baada ya maonesho haya kumalizika. Kinatia nguvu na kukuburudisha.
IMG_3897

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA