Wachezaji 6
nyota ( waliokaa) waliochaguliwa kuhuduria Clinic itakayoongozwa na makocha wa
kabla ya Manchester united wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya
kutangazwa katika final za Airtel Rising stars zilizofanyika katika katika
viwanja vya karume jijini Dar es Saalam.
Naibu Waziri wa Habari, Vijana,
Utamaduni na Michezo Amos Makala akikabidhi kombe la ubingwa wa Airtel Rising
Stars kwa nahaodha wa timu ya Mwanza Kelvin Faru kwenye uwanja wa Kumbukumbu ya
Karume jijini Dar mwishoni mwa wiki.
Timu ya
Mwanza ikifurahia ushindi mara baada ya kuibuka mabingwa wa fainali za Airtel
Rising Stars kwa mwaka 2013
Mkurugenzi
Mkuu wa Airtel Bwana Sunil Colaso akiongea wakati wa kufunga michuano ya Fainali
ya mashindano ya Airtel Rising Stars katika viwanja vya karume jijini Dar es
saalam
Naibu Waziri
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Amos Makala akiongea wakati wa kufunga michuano
ya Fainali ya mashindano ya Airtel Rising Stars katika viwanja vya karume jijini
Dar es saalam
Naibu Waziri
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Amos, akifatiwa na Raisi wa TFF sir
Leodgar Tenga pamoja na Mkurugenzi
Mkuu wa Airtel Bwana Sunil Colaso wakikangua timu kabla ya kucheza mechi ya
finali katika michuano ya Airtel Rising Stars , mechi ilikuwa kati ya Morogoro
na Mwanza.
Naibu Waziri
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Amos akiongea na wachezaji kabla ya
kuanza mechi za fainali
Mlinzi wa Mwanza Ally Mnasi
(kushoto) akipambana na Evance Robert wa Morogoro wakati wa fainali kwenye uwanja wa Kumbukumbu ya
Karume jijini Dar mwishoni mwa wiki. Mwanza walishinda
1-0
Mchezaji Kelvin Matale wa Mwanza
(kushoto) akichuana na Dickson Mwesa wa of Morogoro wakati wa
fainali kwenye uwanja
wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar mwishoni mwa wiki. Mwanza walishinda
1-0.
Rais wa TFF
Leodegar Tenga akimvisha medali kocha wa timu ya taifa ya vijana Jacob
Michaelsin kutambua mchango wake kwenye mashndano ya Airtel Rising Stars ngazi
ya Taifa yaliyomalizika uwanja wa Karume mwishoni mwa
wiki
Mkurugenzi wa Masoko wa
Airtel Tanzania Levi Nyakundi akikabidhi mfano wa hundi kwa mchezaji bora wa
Airtel Rising Stars Anna Hebron kwenye uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam
mwishoni mwa wiki.
Comments