Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid akikata utepe ikiwa ni ishara ya ishara ya uzinduzi wa usafiri wa bajaji zitakazokuwa zinatumiwa na wauguzi wa Shirika la Marie Stopes kwenda kwa wananchi kutoa huduma ya Uzazi wa Mpango. Wanaoshuhudia uzinduzi huo uliofanyika leo eneo la Uwanja wa Sifa, Tandale, Dar es Salaam ni Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo, Ulla Muller (kushoto) Mkurugenzi wa Mifumo ya Afya wa shirika hilo, Dk. Joseph Komwihangiro na Redd's Miss Tanzania 2012 Brigitte Alfred, wa pili kulia. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)
Redd's Miss Tanzania 2012, Brigitte akihutubia katika hafla hiyo
Dk. Rashid akihutubia katika mkutano huo
Picha ya pamoja
Wananchi wakisikiliza kwa makini
Redd's Miss Tanzania 2012, Brigitte akihutubia katika hafla hiyo
Dk. Rashid akihutubia katika mkutano huo
Picha ya pamoja
Wananchi wakisikiliza kwa makini
Comments