Ombaomba akiwa amekiuka amri ya Serikali kwa kurejea jijini na
kuendelea na kazi yake kama alivyonaswa na kamera yetu karibu na Mnara
wa Askari, katikati ya Jiji la Dar es Salaam juzi. Serikali ya Mkoa wa
Dar es Salaam iliwapiga marufuku ombaomba na wafanyabiashara ndogondogo
kufanya shughuli zao katika maeneo mbalimbali ili kuweka mazingira safi
hasa wakati wa ziara ya Rais wa Marekani, Barack Obama. Pia Serikali
iliwataka wafanyabiashara hao waliokuwa wametimuliwa katika maeneo
yasiyo rasmi kwa biashara wasirudi. (PICHA ZOTE NA KHAMIS MUSSA)
Wafanyabiashara ndogondogo wakiendelea na biashara zao baada ya kurejea tena katika eneo la Posta Mpya, jijini Dar es Salaam. PICHA ZOTE NA MDAU KHAMIS MUSSA
Wauza maji na soda wakiwa kazini jana katika Mtaa wa Azikiwe, katikati ya Jiji la Dar es Salaam.
Wateja wakipata huduma ya kutoa na kutuma fedha kwa njia ya mitandao ya simu jana katikati ya Jiji la Dar es Salaam. Vibanda vinavyotoa huduma hizo, viliondolea wakati wa ziara ya Rais Obama nchini.
Wafanyabiashara ndogondogo wakiendelea na biashara zao baada ya kurejea tena katika eneo la Posta Mpya, jijini Dar es Salaam juzi.
Wauza vocha na wang'arisha viatu wakiwa kazini katika Mtaa wa Samora, Dar es Salaam
Wafanyabiashara ndogondogo wakiendelea na biashara zao baada ya kurejea tena katika eneo la Posta Mpya, jijini Dar es Salaam. PICHA ZOTE NA MDAU KHAMIS MUSSA
Wauza maji na soda wakiwa kazini jana katika Mtaa wa Azikiwe, katikati ya Jiji la Dar es Salaam.
Wateja wakipata huduma ya kutoa na kutuma fedha kwa njia ya mitandao ya simu jana katikati ya Jiji la Dar es Salaam. Vibanda vinavyotoa huduma hizo, viliondolea wakati wa ziara ya Rais Obama nchini.
Wafanyabiashara ndogondogo wakiendelea na biashara zao baada ya kurejea tena katika eneo la Posta Mpya, jijini Dar es Salaam juzi.
Wauza vocha na wang'arisha viatu wakiwa kazini katika Mtaa wa Samora, Dar es Salaam
Comments