Baadhi ya Wananchi na waumini wa Dini ya Kiislamu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja wakiwa katika chakula cha futari iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,katika
viwanja vya Ikulu Ndogo ya Mkokotoni jana.
Baadhi ya akina mama wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, wakiwa katika chakula cha Futari katika Mwezi mtukufu wa Ramadhan,iliyoandaliwa na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein,katika viwanja vya Ikulu ndogo ya Mkokotoni.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) pamoja na Viongozi na wananchi na
waumini wa Dini ya Kiislamu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, wakijumuika
katika chakula cha futari aliyoiandaa katika viwanja vya Ikulu Ndogo ya
Mkokotoni jana
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein,(katikati)akijumuika na Wanawake wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, katika
futari aliyowaalika viwanja vya Ikulu ndog Mkokotoni jana. (pili
kushoto) Mke wa Makamo wa Pili wa rais Mama Asha Balozi,na Mkuu wa wilaya ya Kaskazini A Riziki Juma Simai,(kulia).Picha na Ramadhan Othman, IKULU-Zanzibar
Comments