SHILOLE AKONGA NYOYO TAMASHA LA MIAKA 3 WA UTAMADUNI WA KISWAHILI MAREKANI

Shilole na Masanja wakipagawisha wadau wa Kiswahili kwenye sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo na tamasha la Kiswahili Marekani.
Shilole akicheza na Salha kwenye moja ya nyimbo zake alizopagawisha kwenye sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo iliyofanyika Jumamosi July 6, 2013.
Shilole akizidi kuwasha moto.
Ulikuwa ni usiku wa Vijimambo kuandika historia mpya.
Dj Luke (kushoto) katika picha ya pamoja na Afisa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Mindi Kasiga (kati) na mwenyekiti wa kamati Baraka Daudi.
Meza waliyokaa Kaimu Balozi Mama Lily Munanka baadhi ya wageni walikuja na masafara wa Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi wakibadilishana mawazo huku wakicheka kwenye usiku wa sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo na tamasha la Kiswahili Marekani lilofanyika Jumamosi July 6, 2013.
Afisa Ubalozi Suleiman Saleh pamoja na mkewe (kushoto) katika picha ya pamoja na Tina Magembe.
Afisa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na mkwewe katika pivha ya pamoja na Kulwa (kati) kutoka North Carolina aliyekuja kwenye sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo na tamasha la utamaduni wa Kiswahili kama muakilishi wa DICOTA.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*