SIMBA SC YASAJILI STRIKER LA MAREKANI JIONI HII


IMEWEKWA JULAI 31, 2013 SAA 12:03 JIONI
Mshambuliaji wa zamani wa Pamba FC ya Mwanza, Betram Mombeki (kulia) aliyekuwa Marekani kwa muda mrefu, akisaini Mkataba wa miaka miwili kuichezea SImba SC leo, baada ya kuvutia katika majaribio. Kulia ni Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Simba SC, Joseph Itang'are 'Kinesi'.
Kama Yekini; Betram alifunga bao zuri Simba SC ikilala 2-1 dhidi ya URA mwezi huu na kushangilia kwa staili ya mshambuliaji wa zamani wa kimataifa wa Nigeria, marehemu Rashid Yekini (chini). Lakini siku hiyo alitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kumpiga kiwiko beki wa URA.

Anaweza; Betram alionyesha uwezo mkubwa dhidi ya URA na kama si kutolewa kwa kadi nyekundu, angeweza kufunga zaidi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA