WADAU WA HOUSTON TX WAMPA HAFLA NZITO MPIGANAJI "THE CEO" DAVIS MOSHA KATIKA KIWANJA CHA PAPPADEAUX WESTHEIMER

Upscale Spot ndani ya Houston
Mpiganaji maarufu Davis Mosha akiteta jambo na wadau wa Houston, kulia ni Grace Mmari
Juliet, Christa wakifurahia jambo
 Juliet na Christa wakichagua kitengo
Frank Mutafungwa (Mbabe wa zamani Masaki)  na Alex Kassuwi wakiangalia menu
 Wahudumu walikuwa busy sio mchezo kuhudumia wadau
 Christa akimsikiliza "The Boss" alipokuwa akielezea jambo
  Juliet. Kila mtu makini kumsiliza mpiganaji Davis Mosha akiwapa wadau idea za kutoka.
 The Boss, akitafakari jambo
 Frank akisiliza idea toka kwa The CEO Davis Mosha
Kulia, Alex Kassuwi akichangia jambo katika hafla ya chakula iliyoandaliwa na marafiki wa karibu
 PICHA ZOTE NA SWAHILITV.BLOGSPOT.COM

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA