ZIARA YA RAIS KIKWETE WILAYANI MULEBA


Wananchi wa Muleba wakimshangilia Rais Jakaya Mrisho Kikwete alipowasili wilayani humo akiwa katika ziara yake ya siku sita Mkoani Kagera
Rais Kikwete akivikwa skafu na skauti baada ya kuwasili Muleba
Vikundi vya ngoma vikitumbuiza wageni
Rais Kikwete akisalimiana na mama wa Profesa Anna Tibaijuka
Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka akishiriki katika ngoma ya utamaduni wakati wa mapokezi ya Rais Kikwete wilayani Muleba
Rais Kikwete akiongea na viongozi wa wilaya ya Muleba baada ya kupokea taarifa ya maendeleo, akiwa na mawaziri watano anaoongozana nao katika ziara hiyo
Mbunge wa Muleba akitoa  maoni na kero za jimbo lake
Waziri wa Uchukuzi Dkt Harrison Mwakyembe akiwahakikishia viongozi wa Muleba juu ya mipango ya serikali kuleta meli za abiria mpya mbili katika ziwa Victoria
Rais Kikwete akipata maelezo ya mpango kabambe wa maji wilaya ya Muleba
Rais Kikwete akizindua mradi mkubwa wa maji wilayani Muleba
Rais Kikwete akikata utepe kuzindua mradi wa maji
Rais Kikwete akimtwisha ndoo ya maji mmoja wa wananchi wa Muleba baada ya kuzindua mradi mkubwa wa maji kwa wilaya hiyo
Mwananchi mwingine akitwishwa maji
Ngoma ya utamaduni ikimlaki Rais Kikwete alipowasili katika mkutano wa hadhara
Rais Kikwete akisalimia wananchi
Rais Kikwete akiangalia mazao yatokanayo na uzalishaji mbegu ya kampuni ya Itente ya Muleba
Rais Kikwete akipozi na wafanyakazi wa kampuni ya uzalishaji mbegu ya Itente
Rais Kikwete akifurahia ngoma
Umati wa wananchi Muleba ukimsikiliza Rais Kikwete
Rais Kikwete akiongea na wananchi wa Muleba
Rais Kikwete akihutubia wana Muleba
Sehemu ya umati mkutanoni
Rais Kikwete akiendelea kungea na wananchi
Umati  katika mkutano wa hadhara
Umati katika mkutano wa hadhara
Rais Kikwete akijiunga na waumini wa Muleba kusali swala ya Magharibi kabla ya kufuturu
Dua ikisomwa baada ya futari aliyoandaa Rais Kikwete kwa wananchi wa Muleba
Dua ikiombwa baada ya futari
Dua
Wananchi wa Muleba katika futari aliyoandaa Rais Kikwete wilayani Muleba

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.