NMB YATOA VIFAA VYA MICHEZO KWA KIWANDA CHA SUKARI-ILOVO


Bonanza 1 
Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda cha Sukari-ILOVO, Mark Bainbridge (kulia) akipokea sehemu ya vifaa vya michezo kutoka kwa Meneja wa NMB Kanda ya Mashariki Bw. Nazareth Lebbi. Vifaa hivyo vyenye thamani ya shilingi milioni 7 na laki 5 vimetolewa na NMB kwa ajili ya bonanza ya ujirani mwema kwa taasisi zilizopo Kidatu- Kilombero. Wakishuhudia kutoka kulia ni Meneja Utumishi-ILOVO Bw. Beda Marwa, Meneja wa tawi la NMB Kilombero, Bw.Henry Shadolo pamoja na ofisa kutoka ILOVO.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI