CCM MEATU YAZOA VIONGOZI WA CHADEMA
Aliyekuwa
Katibu Mwenezi wa Chadema wilaya ya Meatu Kimwaga Jackson Ndibo
akirudisha vitu vya Chadema zikiwemo kadi, bendera na katiba kwa
viongozi wa CCM baada ya kurudi rasmi.
Mwenyekiti
wa Vijana mkoa wa Simiyu na MNEC wa Itilima Ndugu Njalu Silanga
akikabdihi kadi ya CCM kwa moja ya viongozi wa Chadema Meatu waliorudi
CCM.
Mwenyekiti
wa Vijana Mkoa wa Simiyu na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa wilaya
ya Itilima Ndugu Njalu Silanga (wa katikati) akiwa pamoja na viongozi wa
Chama wilaya ya Meatu. (FS)
Comments