CHELSEA NA MADRID ZATINGA HATUA YA NUSU FAINALI UEFA, PSG NA DORTMUND CHALI.


Chelsea
Wachezaji wa Chelsea na meneja wa timu hiyo wakimpongeza Demba ba kufuatia bao la ushindi alilofunga dakika za lala salama.
Siku ya jana ilikuwa ya furaha kwa kikosi cha Chelsea baada ya kupata tiketi ya kuelekea hatua ya nusu fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya kwa kuitandika timu ya Paris-Saint German bao 2 – 0 kwenye dimba la Stamford Bridge. Magoli ya Chelsea yalifungwa na ‘Andre Shurrle’ dakika 32′ na Demba ba dakika ya 87′ na kumfanya kocha Jose Mourinho kulipuka na shangwe za ajabu.
Marco Reus wa Dortmund akishangilia bao alilofunga dhidi ya Madrid hapo jana.
Marco Reus wa Dortmund akishangilia bao alilofunga dhidi ya Madrid hapo jana.
Madrid ilifanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali kwa mbinde kwa kukubali kichapo cha bao 2 – 0 kutoka kwa Borussia Dortmund licha ya ushindi huo haukuweza kufua dafu kutokana na Madrid kuongoza kwa idadi ya magoli baada ya kumfunga nyumbani kwake bao 3 – 0.Marco Reus  aliifungia timu yake mabao 2 mnamo dk ya 24′ na 37′ kipindi cha kwanza cha mchezo.
Mshambuliaji hatari Cristiano Ronaldo akipiga picha na mashabiki wa Drtmund.
Mshambuliaji hatari Cristiano Ronaldo akipiga picha na mashabiki wa Drtmund.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA