Mkurugenzi
Mtendaji wa kampuni ya Green Stars Industry inayomiliki eneo la FAN
CITY Bw. Hasan Rizvi akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani)
mashine za michezo mbali mbali itakayotolewa kipindi cha sikukuu ya
Pasaka wakati wa mkutano alioufanya katika eneo la Fun City Kigamboni
jijini Dar es Salaam. Pia aliongeza kuwa kwa sasa kampuni yake
imeeongeza mitambo yenye uwezo wa kutengeneza mawimbi ya aina sita
tofauti kwenye bwawa kubwa la kuogelea.
Mitambo
ya kisasa iliyofungwa katika eneo la Fun City ambayo itawawezesha
wananchi kupata burudani kabambe zenye ubora wa kimataifa kwani hakuna
mahali popote Afrika Mashariki mitambo hiyo.
Comments