STAA wa sinema za Kibongo, Flora Mvungi amefunguka kuwa ubize wa
kulea mwanaye ndiyo umemfanya avunje urafiki na shosti wake, Salma Jabu
‘Nisha’.
Flora alifunguka hayo juzikati baada ya paparazi wetu kumuuliza juu
ya taarifa zinazodai kuwa wawili hao wamepishana kauli na kila mmoja
kuishi kivyake.…
Comments