Kutoka
kushoto Seneta wa County ya Monmbasa Hassan Omar , Mtangazaji wa VOA
Abdushakur Aboud , Gavana wa Mombasa County Ali Joho na waziri wa Vijana
, Jinsia na Michezo wa County hiyo Hazel Koitabawalipotembelea kipindi
maarufu cha "LIVE TALK " idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika-VOA
Ijumaa Aprili 18,2014.Kutoka
kushoto Waziri wa Vijana , Jinsia na Michezo katika County ya Mombasa,
Katibu wa County Hamisi Mwaguya,Barbara Aron, Chanzera, mtangazaji wa
VOA Aida Issa na Tuni Mwalukumbi msimamizi mwa utawala County.
Kutoka
kushoto Abdushakur Aboud, Mkuu wa idhaa ya Kiswahili Mwamoyo Hamza ,
Gavana wa Mombasa Ali Joho , Sunday Shomari,Seneta wa Mombasa County
Hassan Omar, waziri wa County wa Vijana , Jinsia na Michezo Hazel
Koitaba na katibu wa County Hassan Mwaguya. Kusikiliza kipindi hiki
fuata link hii .
http://www.voaswahili.com/archive/jioni/latest/2948/2948.html na kwa picha zaidi ungana na Sunday Shomari.com
Comments