Paul Mashauri wa EASB akitoa mada katika kongamano hilo.
Kongamano
la wanawake Wajasiriamali Tanzania lilofanyika katika ukumbi wa Mbezi
Garden Hotel lilifana , mada mbalimbali ziliwasilishwa katika kongamano
hilo liliandaliwa na Tanzania Business Entreprenuers for
Women(TBEW) wakiongozwa na Haika Lawere Mkurugenzi Mtendaji wa Mbezi
Garden Hotel.
Kampuni na vikundi vya wajasiriamali zaidi ya 30 vilishiriki maonyesho ya bidhaa na wajasiriamali zaidi ya 100 walishiriki katika semina zilizokuwa zinafanyika sambamba na maonyesho hayo
Kampuni na vikundi vya wajasiriamali zaidi ya 30 vilishiriki maonyesho ya bidhaa na wajasiriamali zaidi ya 100 walishiriki katika semina zilizokuwa zinafanyika sambamba na maonyesho hayo
Washiriki wa kongamanno ambao walikuwa wakionyesha bidhaa zao
Ashura Katunzi Kilewela(Mrs) waTBS akiongelea umuhimu wa viwango katika bidaa za kitanzania
Benedict Mwambela, Mkufunzi toka ILO akitoa mada
washiriki wakionyesha baadhi ya bidhaa zao
Comments