KUELEKEA SHEREHE ZA MIAKA 50, MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUFUNGUA KONGAMANO LA MUUNGANO MJINI ZANZIBAR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akihutubia wakati akifungua rasmi Kongamano la Muungano katika Ukumbi
wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort, mjini Zanzibar leo Aprili 19, 2014.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanoa, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza jambo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais,
(Muungano) Samia Suluhu, wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Muungano
lililofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort, mjini
Zanzibar leo Aprili 19, 2014.
Viongozi
waliohudhuria Kongamano hilo, wakiwa meza kuu. Wa pili (kulia) Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
(wa kwanza kushoto) Makamu wa pili wa Rais wa Zanznibar, Balozi Seif
Iddi, (wa pili kushoto) ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais
(Muungano) na (kulia) ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa pili wa Rais,
Mohamed Aboud.
Comments