Bondia Sukkasem Kietyongyuth
kutoka Thailand kulia akitunishiana misuli na Fransic Miyeyusho baada
ya kupima uzito leo kwa ajili ya mpambano wao wa Jumamosi ya leo April
19 katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam.
Bondia Sukkasem Kietyongyuth
kutoka Thailand kulia akitunishiana misuli kwa mkono na Fransic
Miyeyusho baada ya kupima uzito leo kwa ajili ya mpambano wao wa
Jumamosi ya leo April 19 katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam
Bondia Sukkasem Kietyongyuth
kutoka Thailand kulia wakipeana salamu ya heshima na Fransic Miyeyusho
baada ya kupima uzito leo kwa ajili ya mpambano wao wa Jumamosi ya leo
April 19 katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Comments