Oparesheni Kamata Bodaboda na Bajaji ikiwa inaendelea upande wa Mwenge mataa ambapo Bajaji nyingi zimekamatwa
Askari
wa Usalama wa Barabarani akiwa anawaandikisha Baadhi ya Bodaboda na
Bajaji wenye makosa mbalimbali ili waweze kulipia tozo pamoja na
kupelekwa kituo cha Polisi.
Baadhi ya Bodaboda na Bajaji wakiwa wanangojea Hatma yao baada ya kukamatwa
Huu ni upande wa kutokea Mwenge kuelekea Posta ambapo Bajaji haziruhusiwi kuvuka hapo kuelekea Posta.
Comments