Mkurugenzi wa kampuni ya Msama Promotion ya jijini Dares salaam inayoandaa matamasha ya Pasaka na Krismwass Bw. Alex Msama anaendelea
vizuri baada ya kupata ajali mkoani Dodoma kisha kupelekwa katika
hospitali ya mkoa wa Dodoma na baadaye kuhamishiwa katika Hospitali ya
Taifa ya Muhimbili katika wodi Kibasila namba 16 hivi sasa anaendelea
vizuri na amesema hali yake imekuwa ikiimarika tofauti na ilivyokuwa
Mwanzo, Aliiambia Fullshangwe jana hospitalini hapo kwamba mungu ni
mwema na ametenda miujiza yake ndiyo maana amekuwa akiimarika
kiafya.(PICHA NA FULLSHANGWEBLOG-MUHIMBILI)Mfanyakazi
wa Kampuni ya Dira Ally Makuburi akimjulia hali Mkurugenzi wa kampuni
hiyo Bw. Alex Msama ambaye amelazwa katika hospitali ya taifa ya
Muhimbili, kulia ni Musa Mkama mwandishi wa gazeti hilo pia. Mfanyakazi wa Kampuni ya Dira Musa Mkama
akimjulia hali Mkurugenzi wa kampuni hiyo Bw. Alex Msama ambaye
amelazwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili baada ya kupata ajali
mkoani Dodoma. Mkurugenzi
wa kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akiwa na wafanyakazi wake
na baadhi ya ndugu na jamaa wakati walipokwenda kumjulia hali katika
hospitali ya taifa ya Muhimbili jana.
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments