Mkuu
wa wilaya ya Makete mh Josephine Matiro (kulia) akizindua albamu ya
video ya msanii wa nyimbo za Injili Aldo Sanga wilayani Makete, kushoto
ni MC wa shughuli hiyo Bi. Happy Ngogo.Picha na Edwin Moshi, Makete.
Mwimbaji mahiri wa nyimbo za injili Happy Kamili akitumbuisha mashabiki waliofika kwenye uzinduzi huo.
Happy Kamili akiwajibika na wimbo wake mahiri wa Mpango wa Mungu.
Msanii Aldo sanga ambaye albamu yake imezinduliwa akitoa burudani kwa mashabiki wake waliofika kushuhudia uzinduzi wake.
Aldo Sanga akiimba wimbo wa Nding'ung'uta ambao umebeba jina la albamu hiyo.
Mwimbaji Madosa akiimba nyimbo zake za injili kwenye uzinduzi huo.
Bi. Suma akiimba mbele ya mashabiki wake katika uzinduzi huo.
Mwimbaji Kyando naye hakuwa nyuma.
Kazi mtindo mmoja, Baraka Swallo naye akiimba kwa hisia kwenye uzinduzi huo.
Mkuu
wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akiangalia wimbo wa
Nding'ung'uta kupitia televisheni kuashiria kuwa albamu hiyo
imezinduliwa rasmi.
Comments