MKUU WA WILAYA YA MAKETE AZINDUA ALBAMU YA NYIMBO ZA INJILI WILAYANI HAPO

 Mkuu wa wilaya ya Makete mh Josephine Matiro (kulia) akizindua albamu ya video ya msanii wa nyimbo za Injili Aldo Sanga wilayani Makete, kushoto ni MC wa shughuli hiyo Bi. Happy Ngogo.Picha na Edwin Moshi, Makete.
 Mwimbaji mahiri wa nyimbo za injili Happy Kamili akitumbuisha mashabiki waliofika kwenye uzinduzi huo.
Happy Kamili akiwajibika na wimbo wake mahiri wa Mpango wa Mungu.

 Msanii Aldo sanga ambaye albamu yake imezinduliwa akitoa burudani kwa mashabiki wake waliofika kushuhudia uzinduzi wake.
 Aldo Sanga akiimba wimbo wa Nding'ung'uta ambao umebeba jina la albamu hiyo.
 Mwimbaji Madosa akiimba nyimbo zake za injili kwenye uzinduzi huo.
Bi. Suma akiimba mbele ya mashabiki wake katika uzinduzi huo.
 Mwimbaji Kyando naye hakuwa nyuma.
 Kazi mtindo mmoja, Baraka Swallo naye akiimba kwa hisia kwenye uzinduzi huo.

Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akiangalia wimbo wa Nding'ung'uta kupitia televisheni kuashiria kuwa albamu hiyo imezinduliwa rasmi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*