Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisaidiana na watu walio kwenye msafara wake kuweka mawe barabarani eneo ambalo magari ya msafara huo yalikwama katika Barabara ya Namanyere Wampembe, wilayani Nkasi, Mkoa wa Rukwa. Kinana alikuwa anakwenda katika Kata ya Wampembe Jimbo la Nkasi Kusini kufanya mkutano wa hadhara akiwa katika ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya CCM.
Kinana akishirikiana na wananchi kulinasua gari la Polisi lililokwama katika barabara hiyo mbovu
Kinana akishiriki kuweka mawe kwenye barabara hiyo
Kinana akiwapiga picha wanahabri waliokuwa wamechoka katika harakati za kuiweka sawa barabara
Kinana akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Wampembe
Moja ya magari yaliyo kwenye msafara likipita eneo lenye utelezi
Baadhi ya watu walio kwenye msafara wa Kinana wakiangalia magari yakipita kwenye eneo lenye utelezi baada ya kuamriwa kushuka ili magari yapite kirahisi katika eneo hilo.
Gari la polisi likisukumwa eneo hilo korofi
Kinana akipita kando ya eneo korofi lililosababisha magari kukwama katika barabara hiyo, ambayo Kinana ameahidi ujnzi wake kuuhamishia Tanroads badala ya sasa kusimamiwa na Halmashauri ya Nkasi yenye uwezo mdogo wa kifedha za kujengea barabaa hiyo
Mjumbew NEC CCM,Ali Karume akihutubia katika kijiji cha Ntemba wilayani Nkasi
Kinana akihutubia katika Kijiji cha Ntemba wilayani Nkasi,usiku baada y wananci kuusimamisha msafara wake uliokuwa ukitokea Kata ya Wampembe.PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO
Viatu na suruali aliyovaa Kinana vikiwa vimechafuka wakati wa harakti za kushiriki kuyanasua magari katika barabara hiyo |
Kinana akishiriki kuweka mawe kwenye barabara hiyo
Kinana akiwapiga picha wanahabri waliokuwa wamechoka katika harakati za kuiweka sawa barabara
Wananchi wa Kijiji cha Wampembe wakipiga makofi kumlaki Kinana |
Wananchi wakisaidia kubeba mawe kwa ajili a kuweka eneo magari yalipokwama
Add caption |
Moja ya magari yaliyo kwenye msafara likipita eneo lenye utelezi
Baadhi ya watu walio kwenye msafara wa Kinana wakiangalia magari yakipita kwenye eneo lenye utelezi baada ya kuamriwa kushuka ili magari yapite kirahisi katika eneo hilo.
Gari la polisi likisukumwa eneo hilo korofi
Kinana akipita kando ya eneo korofi lililosababisha magari kukwama katika barabara hiyo, ambayo Kinana ameahidi ujnzi wake kuuhamishia Tanroads badala ya sasa kusimamiwa na Halmashauri ya Nkasi yenye uwezo mdogo wa kifedha za kujengea barabaa hiyo
Wananhi waliokuwa kwenye msafara wa Kinana wakiangalia mti wa Mnyangenyange unaodhaniwa kuwa ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume na za kike |
Kinana akihutubia katika Kijiji cha Ntemba wilayani Nkasi,usiku baada y wananci kuusimamisha msafara wake uliokuwa ukitokea Kata ya Wampembe.PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO
Comments