NISHIDAH!!! KIM KARDASHIAN KATIKA VAZI LA UFUKWENI NCHINI THAILAND.

K2
Familia ya kishua na iliyojaa warembo daraja la kwanza wenye vipaji lukuki, Kardashian’s Family imetia nanga nchini Thailand tangu machi 30  kwa ajili ya kurekodi muendelezo wa kipindi cha tv ‘Keeping Up with Kardashian’s kinachoendeshwa na mama wa familia hiyo, Kris Jenner…
Na hivyo kumpatia fursa mchumba wa rapa kanye west na mama wa mtoto mmoja, Kim Kardashian kuonyesha urembo wake kwa kutumia vazi la ufukweni. Utasema hakuwahi kushika ujauzito….

K1  K3 K4

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU