NUSU FAINALI YA UEFA : MADRID KUVAANA NA BAYERN, CHELSEA KIUFUATA ATLETICO ‘VICENT CALDERON’.

Champions League 
Hatimaye ratiba imetoka ya timu zitakazomenyana katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa ya ulaya.
Mabingwa mara tisa wa klabu bingwa ya Ulaya timu ya Real Madrid itawakaribisha  nyumbani wapinzani wao Bayern Munich ‘The Bavarian’ katika mchezo wa mkondo wa kwanza utakaochezwa April 23  na kurejeana tena baada ya siku nane baadae.
Nusu fainali ya pili itakuwa kati ya Atletico Madrid itakialika kikosi cha ‘The Blues’ Chelsea’ kwenye dimba lao la ‘Vicent Calderon’ April 22 na baada ya siku nane  watawafuata darajani  Stamford Bridge.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.