PICHA : DIAMOND ASINDIKIZWA NA BABY AKE WEMA SEPETU UWANJA WA NDEGE ‘JNIA’ AKIELEKEA NIGERIA.


Penzi ni kikohozi kulificha huliweza, Diamond na bebi ake Wema Sepetu wamelidhihirisha hilo baada ya madamu(Wema)  kumsindikiza sukari ya warembo(Diamond) mpaka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere ‘JNIA’ wakati akielekea Lagos, Nigeria kwa ajili ya kufanya video na wasanii wakubwa nchini humo na kuhudhuria event ya Femia Kuti .
Diamond ameondoka Tanzania Machi 30 akiwa na meneja wake, babu Tale kwa ndege ya shirika la Ethopian Airline. Staa huyo wa kibao cha ‘My Number one’ aliweza kushea na mashabiki wake kwenye mitandao ya kijamii baadhi ya picha za kabla na baada ya kufika Nigeria.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.