PICHA KUTOKA JESHI LA MAGEREZA NCHINI: KIKAO CHA ISHIRINI NA TANO(25) CHA BODI YA TAIFA YA PAROLE CHAANZA LEO JIJINI ARUSHA

  Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Parole, Mhe. Jaji Mstaafu Eusebia Munuo(kushoto) akiongoza kikao cha kujadili Wafungwa waliopendekezwa kuachiliwa kwa Parole(kulia) ni Kaimu Katibu wa Bodi ya Taifa ya Parole, Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza, Dkt. Juma Malewa (kulia). Kikao hicho cha siku mbili kimeanza leo Aprili 16, 2014 katika Hoteli ya Charity iliyopo Jijini Arusha.
  Wajumbe wa Bodi ya Taifa ya Parole wakifuatilia kwa makini majadiliano ya Wafungwa watakaoachiliwa na Parole katika Kikao cha Bodi ya Taifa ya Parole kitakachofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Aprili 16 - 17, 2014 katika Ukumbi wa Hoteli ya Charity, Jijini Arusha(wa kwanza kulia ni Mjumbe na Afisa Mwandamizi kutoka Ofisi ya Rais, Bw. Edgar Luoga(katikati) ni Mjumbe wa Bodi, Dkt. Joseph Chuwa toka Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali(kushoto) ni Bw. Jonas Tarimo, Mjumbe wa Bodi ya Taifa ya Parole.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA