PICHA MBALIMBALI KUTOKA KAMPENI ZA CCM CHALINZE: ZIKIWA ZIMEBAKI SIKU CHACHE KUFIKIA UCHAGUZI WAPINZANI WAZIDI KURUDI CCM CHALINZE
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze
(CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwahutubia Mamia ya wakazi wa Kijiji
cha Lugoba waliofurika kwenye uwanja wa Mnadani,kusikiliza sera ya
Mgombea Ubunge huyo April 2,2014.
Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Kijiji cha
Lugoba na kuwaambia Ridhiwani ni kijana anayehifahamu vizuri Chalinze na
changamoto zake .
Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimnadi Mgombea wa Ubunge Jimbo
la Chalinze CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete wakati wa mkutano wa hadhara
uliofanyika katika Kijiji cha Lugoba.
Mamia
ya wakazi wa kijiji cha Lugoba wakimsikiliza mgombea wa ubunge jimbo
la Chalinze CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete wakati wa mkutano wa kampeni.
Mbunge
wa Shinyanga Mjini Ndugu Stephen Masele ambaye pia ni Naibu Waziri wa
madini akihutubia wakazi wa kijiji cha Lugoba wakati wa kampeni za
ubunge CCM jimbo la Chalinze.
Comments