Picha: Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba na Waziri wa Afrika Mashariki, Samweli Sitta amefanya ziara kwa viongozi wakuu wa kidini kwa lengo kuwaambia kile kinachoendelea ndani ya bunge ambalo linaendelea na shughuli zake mjini Dodoma.
Mwenyekiti
wa Bunge Maalum la Katiba na Waziri wa Afrika Mashariki, Samweli Sitta
akishuka kwenye gari alipokuwa ziarani leo kwenye Makao Makuu ya Bakwata
jijini Dar es Salaam.
Katibu
Mkuu wa Bakwata, Suleiman Lolila akisalimiana na Sitta alipowasili
ofisi za Makao Makuu ya Bakwata jijini Dar es Salaam leo
Sitta akisalimiana na Shehe Simba baada ya kufika ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Comments