Picha na Taarifa Kwa Umma Kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango: Sera ya Taifa ya Idadi ya Watu Kufanyiwa Mapitio


 Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bi Joyce Mkinga (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipokuwa akitoa taarifa ya kupitiwa upya kwa Sera ya Taifa ya Idadi ya Watu. Pamoja nae ni Mchambuzi Mkuu wa Sera (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bw. Edwin Ninde (Kushoto) na Afisa Habari wa Idara ya Habari, Bibi Georgina Misana (Kulia).
 Mchambuzi Mkuu wa Sera (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bw. Edwin Ninde (Kushoto) akitoa ufafanuzi juu ya umuhimu wa kufanyiwa mapitio kwa Sera ya Taifa ya Idadi ya Watu. Katikati ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini kutoks Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bi Joyce Mkinga na Afisa Habari wa Idara ya Habari, Bibi Georgina Misana (Kulia).
  Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bi Joyce Mkinga (katikati) na Mchambuzi Mkuu wa Sera (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bw. Edwin Ninde (Kushoto) wakiandika maswali yaliyokuwa yakiulizwa na wanahabari (hawapo pichani).
---
 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS,TUME YA MIPANGO
1.  Utangulizi:
Sera ya Taifa ya Idadi ya Watu kwanza ya iliandaliwa mwaka 1992 ambapo ilifanyiwa na kuandaliwa upya  mwaka 2006 kwa azma ya kuratibu na kushawishi sera za sekta nyingine, mikakati na program za maendeleo kuhakikisha zinajumuisha masuala ya maendeleo endelevu ya watu, kukuza usawa wa kijinsia, uwezeshaji wa wanawake, haki za watoto, na makundi mengine yenye uwezekano wa kuathiriwa kwa urahisi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU