Picha na Video Kutoka Chadema: Jionee Jinsi Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa na Mbunge wa Jimbo la Ubungo- Chadema John Mnyika Walipofunga Rasmi Kampeni Za Chadema Chalinze
Umati uliohudhuria mkutano wa kampeni za CHADEMA kwa ajili ya uchaguzi wa Ubunge wa jimbo la Chalinze.
Katibu Mkuu wa CHADEMA,
Dk Slaa akiwaaasa Wanachalizne kutokumchagua mtoto wa Rais kwa kuwa ni
ngumu sana kufanya kazi ambayo baba yake alishindwa kuifanya kwa miaka
zaidi ya kumi.
Mbunge wa Ubungo, John Mnyika akimnadi mgombea Ubunge wa Chalinze, Mathayo Torongey
Comments