PICHA ZA MAZISHI YA GURUMO KISARAWE MKOANI PWANI.


Msibani
Mamia ya Wadau , mashabiki na wapenzi wa muziki wa dansi wamempumzisha salama mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi Maalim Muhidin Gurumo kijijini kwao Masaki – Kisarawe mkoani Pwani.
Katika mazishi hayo, wasanii wa bendi mbalimbali nchini na wale waliowahi kufanya nae kazi   waliweza kuhudhuria, ingawa mahudhurio  kwa upande wa wasanii wa muziki wa kizazi kipya haikuridhisha, ukilinganisha na wasanii  wa fani nyingine.
Mazishi ya gurumo1 Safari ya mwisho ya Gurumo  Mazishi1
Mazishi ya Gurumo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA