Mwanamuziki wa Bongo Fleva anayekimbiza kwa blingi na kuvaa, Juma Mpolopoto ‘JUX’ ambaye kwa sasa yupo barani Asia kwa masuala ya kimasomo, ameposti picha za utengenezaji wa video mpya ya wimbo wake wa Nitasubiri kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Video hiyo imefanywa chini ya muongozaji ‘Zed Benson’ aliyeongoza video ya Uzuri wako ya msanii huyo. Tazama vipande vya utengenezaji hapo chini.
Comments