PICHA ZA UZINDUZI WA VIDEO YA QUEEN DARLEEN ‘WANATETEMEKA’ CLUB BILLICANAS.



Queen Darleen akiwatetemesha mashabiki kwa steji.
Queen Darleen akiwatetemesha mashabiki kwa steji.
Usiku wa jana palikuwa hapatoshi ndani ya kiota cha burudani ‘Club Billicanas’ wakati wa uzinduzi wa video mpya ya Queen Darleen  ‘Wanatetemeka’ aliyomshirikisha Shilole.
Shoo hiyo iliyopata idadi kubwa ya wahudhuriaji, ilikwenda sambamba na  sapraizi kutoka kwa Diamond Platnumz aliyepanda jukwaani kwa kushtukiza na kuimba pamoja na  dada yake huyo hali iliyopelekea ukumbi kulipuka kwa kelele.
Hivi ndivyo mambo  yalivyokuwa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*