Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza katika kikao chake na
Kamati ya Siasa ya mkoa wa Kigoma, katika ukumbi wa Ofisi ya CCM ya mkoa
huo, jana, Aprili 9, 2014. Kulia ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi
Nape Nnauye na Mjumbe wa NEC, Balozi Ali Karume na kushoto ni Katibu wa
CCM mkoa wa Kigoma na Mwenyekiti wa CCM wa mkoa Dk. Walid Kaborou.
Balozi Dk. Ali Karume akizungumza kwenye kikao hicho cha Kamati ya Siasa mkoani Kigoma
Nape akizungumza kwenye kikao hicho cha Kinana na Kamati ya Siasa ya mkoa wa Kigoma
Comments