PRODUCER P-FUNK MAJANI AVUTA JIKO


P-Funk
Mtengenezaji nguli wa midundo ya Hip Hop na mmiliki wa studio ya Bongo Records,   Paul Matthysse  AKA ‘P-funk  Majani’ aliyekuwa zilipendwa wa muigizaji nyota Kajala Masanja, hatimaye amefunga ndoa halali ya kidini hapo jana na kuagana rasmi na maisha ukapela.
Mrs Matthysse’s turn to put a ring on my finger.” aliandika Majani kupitia ukurasa wake wa Instagram. Blogu ya Bamiza Blog inawapa hongera Mr& Mrs Matthysse’s kwa hatua nzuri waliyofikia.
Pfunky

Bwana na Bi Matthysses wakivalishana pete za ndoa
PMajani
P_ Majana 
  Parveen & Tycoon Shah ni miongoni mwa watu wa karibu wa P-Funk waliohudhuria sherehe hizo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

𝙂𝘼𝙈𝙊𝙉𝘿𝙄 𝙆𝘼𝘾𝙃𝙀𝙕𝘼 𝙆𝙄𝘽𝙄𝙉𝙂𝙒𝘼.