RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA UKANDA WA KATI JIJINI DAR LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, akifurahia jambo wakati akitoa hotuba yake katika mkutano wa Wadau wa Ukanda wa kati(alignment meeting on central corridor), alioufungua leo mchana katika ukumbi wa Mwl. Julius Nyerere. Mkutano huo wa wadau ni sehemu ya utekelezaji wa maamuzi ya Mkutano wa Jukwaa la Kiuchumi Duniani (World Economic Forum) iliofanyika Davos Uswiss Mwezi Januari 2014.
Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe, akitoa hotuba kabla ya kumkaribisha kufungua mkutano wadau wa Ukanda wa kati (alignment meeting on central corridor), uliofanyika leo mchana katika ukumbi wa Mwl. Julius Nyerere. Kulia kwa Waziri Mwakyembe ni Mkurugenzi wa Jukwa la Kiuchumi Duniani kwa upande wa Afrika, Bi. Elsie Kanza.
Sehemu ya washiriki wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt. Shaaban Mwinjaka wakati akiwasilisha mada katika mkutano wa wadau wa Ukanda wa kati (alignment meeting on central corridor), uliofanyika leo mchana katika ukumbi wa Mwl. Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, akimwambia jambo Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Bw. Richard Sezibera, wakati wa mkutano wa Wadau wa Ukanda wa kati (ALIGNMENT MEETING ON CENTRAL CORRIDOR), uliofanyika leo mchana katika ukumbi wa Mwl. Julius Nyerere. Mkutano huo wa wadau ni sehemu ya utekelezaji wa maamuzi ya Mkutano wa Jukwaa la Kiuchumi Duniani(World Economic Forum) iliofanyika Davos Uswis Mwezi Januari 2014.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt. Shaaban Mwinjaka akiwasilisha mada ya fursa ya uwekezaji katika Ukanda wa kati, katika mkutano uliowakutanisha Wadau wa Ukanda wa kati(alignment meeting on central corridor), uliofanyika leo mchana katika ukumbi wa Mwl. Julius Nyerere,jijini Dar es Salaam. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete (wa sita kutoka kulia), akiwa katika picha ya pamoja na Wahisani wa maendeleo, na waadau wa mkutano wa Wadau wa Ukanda wa kati wa(alignment meeting on central corridor), uliofanyika leo mchana katika ukumbi wa Mwl. Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Mkutano huo wa wadau ni sehemu ya utekelezaji wa maamuzi ya Mkutano wa Jukwaa la Kiuchumi Duniani (World Economic Forum) iliofanyika Davos Uswiss Mwezi Januari 2014, ambao ulichagua Ukanda wa kati kuwa mradi wa majaribio ya kuwezesha uwekezaji kwa njia ya ubia(PPP).(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Uchukuzi)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*