SHINDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI LIJULIKANALO KAMA TANZANIA MOVIE TALENTS LAENDELEA VYEMA SIKU YA LEO


Baadhi ya washiriki wakielekezwa cha kufanya mara baada ya kupita kwa majaji
 Majaji wa mashindano ya kusaka vipaji vya kuigiza Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents wakiwa makini kutazama kipaji kilichokuwa kikionyeshwa na mmoja wa washiriki (hayupo pichani) wakati alipofika kuonyesha kipaji chake, Kushoto ni Jaji Mkuu Roy Sarungi, akifuatiwa na Ivon Chery (Monalisa) na Single Mtambalike (Rich Rich)
 Mmoja wa washiriki waliofika kwaajili ya kuonyesha vipaji akiwa mbele ya meza ya majaji akionyesha uwezo wake wa Kuigiza wakati wa mashindano ya Kuonyesha Kipaji cha kuigiza
 Mmoja wa kijana mwenye umri mdogo kabisa akivalishwa namba kwaajili ya kushiriki kwenye shindano la kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents ambapo kwa siku ya leo limefunga sehemu ya usaili
 Baadhi ya vijana waliofika leo kwaajili ya kushiriki katika shindano la kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania
 Kipaji.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*