SOMA MANENO MAALUM KUTOKA KWA RIDHIWANI KIKWETE


Ridhiwani Kikwete
--
Baada ya safari ya miaka 34 ya kutembea duniani na mafanikio ambayo mungu amenipa , naomba kutumia kurasa huu kuwashukuru tena ninyi wazazi wangu,marafiki zangu, wananchi wenzangu wa Chalinze kwa heshima kubwa mliyonipa.

Ninapoingia mwaka wa 35 wa maisha yangu hakika ni kumshukuru mungu kwa yote aliyonitendea na familia yangu kwa kuwa pamoja nami.Lililo mbele yangu ni utumishi uliotukuka na kuendeleza urafiki na kujenga mahusiano mema.

THANK U ALL.
Ridhiwani Kikwete

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.