TAARIFA YA UHAMISHO WA OFISI ZA KIJIWE CHA WASOMI


Habarini Bloggers, Napenda kuchukua nafasi hii kuwapa taarifa kuwa Blog ya Kijiwe Cha Wasomi iliyokuwa na makazi yake Wilayani Bahi katika mkoa wa Dodoma, sasa itahamia Mtwara mjini.

(Gas City). Hii ni kutokana na majukumu mengine ya kitaifa yanayofanywa na mwongozaji wa blog hii. Bado hatujajua ni eneo gani tutaweka ofisi zetu mkoani Mtwara, lakini nitawataarifu mara baada ya kukamilisha taratibu zote.
Pamoja na mabadiliko haya, utendaji wa blog hauta athiriwa.
Karibuni sana Gas City.

Elly Marimbocho,

Admin Kijiwe Cha Wasomi

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.