TAZAMA PICHA KUTOKA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI:WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHINI MATHIAS CHIKAWE AWASILI ZANZIBAR KUTEMBELEA IKULU, NIDA NA UHAMIAJI LEO
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe (kushoto) akipokelewa
na Naibu Waziri wa wizara yake, Pereira Ame Silima, wakati alipotua
katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar leo.
Kulia ni Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Hamdan Omary Makame.
Waziri Chikawe amewasili Zanzibar kwa ajili ya ziara ya kikazi.
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe (kushoto) akimsalimia
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Dickson Maimu
wakati alipotua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani
Karume Zanzibar leo. Waziri Chikawe amewasili Zanzibar kwa ajili ya
ziara ya kikazi.
Comments