TIMU YA WATOTO WA MTAANI YA TANZANIA YANYAKUA UBINGWA WA DUNIA NCHINI BRAZIL.


Watoto wasiokuwa na makazi hata mlo usiokuwa na uhakika, timu ya watoto wa mtaani ya Tanzania iliyokuwa nchini Brazil, usiku wa jana illiizaba Burundi bao 3 – 0 na kutwaa ubabe wa Dunia. Magoli yote yalifungwa ya Tanzania yaliwekwa wavuni kupitia mshambuliaji wake Frank Williams.
Tanzania1Timu ya watoto wa mtaani ya Tanzania katika picha ya pamoja.
Baada ya kunyakua ubingwa huo, wadau na wapenzi wa soka waliwamwagia sifa na kuishauri serikali pamoja na shirkisho la mpira Tanzania TFF kuwachukua na kuwatunza vijana hao kwa kuwaweka kambini kwa ajili ya manufaa ya hapo baadae. Kikosi hicho kinatarajia kurejea jijini Dar es salaam Aprili 10   saa 10 jioni na ndege ya shirika la Emirates katika uwanja wa JNIA.
Tanzania
Watoto wa mtaani baada ya kunyakua ubingwa sambamba na bosi wao Mutani Yangwe.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.