Mwenyekiti
mpya Suleiman Serera akishikana mkono na Mwenyekiti aliyemaliza muda
wake Bw. Daninga Philip. Wengine katika picha ni uongozi mzima wa
Watanzania wasomao Beijing.
Mwenyekiti
aliyemaliza muda wake wa Umoja wa wanafunzi wanaosoma Beijing, China
(TzBeijing ) Bw.Philip Daninga akiongea na wanachama wa umoja huo muda
mfupi kabla ya zoezi la kupiga kura lililofanyika mwishoni mwa wiki hii
kwenye Ukumbi wa Ubalozi wa Tanzania, China. Wengine katika picha kutoka
kushoto ni Bw. Eusebia John (Makamu Mwenyekiti) na Suleiman Serera
(Kaimu Mhasibu). Kwa habari kamili na picha zaidi BOFYA HAPA.
Comments