HATIMAYE!!!! WATANGAZAJI WA KIPINDI CHA XXL WAFUNGUKIA ISHU YAO YA KUCHAPANA MAKONDE LAIVU STUDIO
Itakumbukwa kuwa mnamo Julai 02 mwaka huu, watangazaji wa kipindi hicho ambao ni Bdozen, Dj Fetty pamoja na Adam Mchomvu waliwashangaza wasikilizaji baada ya kuanza kurushiana maneno wakati wako hewani hali iliyopelekea waingie kwenye ugomvi.
”Kwanza sorry sana Kama lile tukio la juzi kama lilikuzingua. Tuliifanya maksudi (prank)…..Ni tukio lililosambaa ktk Muda mfupi na Karibu Kila mtu alipata taarifa…..ukweli ni kuwa matukio meeeengi mtaani yanaendelea lakini watu wanayapigia kimya sababu unahisi halikuhusu sababu muhusika Si ndugu wala rafiki…Mpango ni kupaza sauti na kuyafikisha kwenye vyombo vya usalama matukio yote yanayosababisha amani ivunjike. #PazaSautiUkimyaHausaidii” aliandika Bdozen kwenye ukurasa wake wa Instagram.KWA HISANI YA LARRYBWAY91 BLOG
Comments