Arafa
Mohammed Mke wa Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani
Kikwete(kushoto) akimkabidhi zawadi ya Vyombo vya ndani na Tende mzee
Said Khamis Mnyika wa kijiji cha Changarikwa kata ya Mbwewe kama zawadi
ya mbunge huyo katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan kwa familia zenye
mahitaji muhimu kutokana na kiushi katika mazingira magumu , ambapo
vifaa vya ndani pamoja na Tende zitatolewa kwa familia zipatazo 600
katika kata zote za jimbo hilo, huu ni mwendelezo wa shughuli za mbunge
huyo katika kuwatumikia wapiga kura wake na kuboresha maisha yao ikiwa
ni mikakati yake ya kufikia malengo aliyojipangia kwa kushirikiana na
wananchi wa jimbo la Chalinze, Kulia ni Mzee Ahmad Ramadhan mmoja wa
wazee wa kijiji cha Changarikwa akingoja kukabidhiwa zawadi zake .(PICHA
NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-MBWEWE-CHALINZE)
Arafa
Mohammed Mke wa Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani
Kikwete(kushoto) akimkabidhi zawadi ya vyombo vya ndani na Tende Mzee
Ahmad Ramadhan mmoja wa wazee wa kijiji cha Changarikwa wakati alipotoa
zawadi hizo kwa familia zenye mahitaji muhimu katika kata ya Mbwewe
jana.
Arafa
Mohammed Mke wa Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete
akimkabidhi zawadi hizo Bi.Halima Hassan katika kijiji cha Changarikwa
jana.
Arafa
Mohammed Mke wa Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete akiwa
katika picha ya pamoja na wazee wa kijiji cha Kwaruhombo Kata ya Mbwewe
jana baada ya kuwakabidhi zawadi ya Tende,Wa pili kutoka kushoto ni
rehema Zando Diwani viti maalum Bagamoyo.
Comments