NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI DK. CHARLES TIZEBA AONGEA NA WAFANYAKAZI WA WAKALA WA NDEGE ZA SERIKALI

              

DSC_0692
Mkurugenzi wa Idara ya Uhandisi katika Wakala wa Ndege za Serikali Tanzania (TGFA), Mhandisi Julius Shaba, akieleza jambo katika hanga ya Wakala huo kwa Naibu Waziri wa Uchukuzi, Dk. Charles Tizeba (wa pili kutoka kwa kulia), wakati alipotembelea ofisi za Wakala huo na kuongea na wafanyakazi hivi karibuni. Kulia wa Waziri Tizeba ni Mkurugenzi Mkuu wa Wakala huo Kapteni Kenan Mhaiki.
DSC_0696
Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Charles Tizeba, akifafanua jambo wakati akiongea na Menejimenti na wafanyakazi wa Wakala wa Ndege za Serikali Tanzania (Tgfa), alipokutana nao hivi karibuni. Naibu Waziri Tizeba aliwapongeza wafanyakazi hao kwa kazi nzuri wanayoifanya kwa kuwahudumia vyema Viongozi mbalimbali wa Kitaifa.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Uchukuzi)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

𝙂𝘼𝙈𝙊𝙉𝘿𝙄 𝙆𝘼𝘾𝙃𝙀𝙕𝘼 𝙆𝙄𝘽𝙄𝙉𝙂𝙒𝘼.