Mjadala uliopo kwenye mitaa na baadhi ya maskani za watu wengi japo kwa dakika tano ni mpambano usio rasmi kati ya Diamond na Ali Kiba.
Mpambano
huo unaotengenezwa zaidi na mashabiki umetua katika mazoezi ya Simba
ambapo wachezaji maarufu wa timu hiyo waliweka nukta ya mazoezi kwa muda
na kuanzisha mjadala ‘wa nani mkali’ mjadala uliomhusisha kocha wa timu
hiyo, Selemani Matonya.
Matola, Uhuru Selemani, Awadh Juma na Twaha Ibraahim wakiwa upande wa
Mwana Dar Es Salaam Ali Kiba, wengine waliohusika kwenye mjadala huo
walichukua upande wa MdogoMdogo wa Diamond wakiwemo Said Ndemla na
Abdallah Sisem
Comments