Afisa wa Mfuko wa PSPF, (Kushoto), akiwahudumia wananchi waliohudhuria siku ya PSPF kwenye viwanja vya Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es Salaam, Ijumaa Julai 4, 2014
Mkurugenzi Mkuu was Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, (Wapili kulia), akimhudumia mstaafu, Jackson F. Salewa, (Kulia), aliyetembelea banda la mfuko huo kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa, kwen ye viwanja vya JK Nyerere jijini Dar es Salaam jana.
Msanii Banana Zoro (Katikati) na wasanii wa kundi la Mjomba Band, wakitumbuiza wanachi waliofika kusherehekea siku ya PSPF, kwenye maonyesho ya biashara ya kimataifa ya 38 kwenye viwanja vya Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es Salaam, Ijumaa Julai 4, 2014
Msanii Mrisho Mpoto, wa kundi la Mjomba Band, na mwenzake, Banana Zoro, wakitumbuiza kwenye sherehe ya siku ya PSPF, kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam, viwanja vya Mwalimu JK Nyerere jijini Ijumaa Julai 4, 2014
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, (Wanne kulia) na maafisa wengine wa Mfuko huo, wakipiga makofi kuashiria kushangilia jambo, wakati wa sherehe za siku ya PSPF, kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam, viwanja vya Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es Salaam, Ijumaa Julai 4, 2014
Meneja Mawasiliano, Mahusiano na Masoko, wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Costantina Martin, (Kushoto), akitoa maelezo ya utambulisho kwenye sherehe ya siku ya PSPF, kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa kwenye viwanja vya Mwalimun JK Nyerere jijini Dar es Salaam, Ijumaa Julai 4, 2014
Mke wa rais Mama Salma Kikwete, akipeana mkikono na Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Adam Mayingu, alipotembelea banda la Mfuko huo kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam, viwanja vya Mwalimu JK Nyerere jijini Ijumaa Julai 4, 2014
Mkurugenzi Mkuu was Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, (Wapili kulia), akimhudumia mstaafu, Jackson F. Salewa, (Kulia), aliyetembelea banda la mfuko huo kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa, kwen ye viwanja vya JK Nyerere jijini Dar es Salaam jana.
Msanii Banana Zoro (Katikati) na wasanii wa kundi la Mjomba Band, wakitumbuiza wanachi waliofika kusherehekea siku ya PSPF, kwenye maonyesho ya biashara ya kimataifa ya 38 kwenye viwanja vya Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es Salaam, Ijumaa Julai 4, 2014
Msanii Mrisho Mpoto, wa kundi la Mjomba Band, na mwenzake, Banana Zoro, wakitumbuiza kwenye sherehe ya siku ya PSPF, kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam, viwanja vya Mwalimu JK Nyerere jijini Ijumaa Julai 4, 2014
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, (Wanne kulia) na maafisa wengine wa Mfuko huo, wakipiga makofi kuashiria kushangilia jambo, wakati wa sherehe za siku ya PSPF, kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam, viwanja vya Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es Salaam, Ijumaa Julai 4, 2014
Meneja Mawasiliano, Mahusiano na Masoko, wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Costantina Martin, (Kushoto), akitoa maelezo ya utambulisho kwenye sherehe ya siku ya PSPF, kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa kwenye viwanja vya Mwalimun JK Nyerere jijini Dar es Salaam, Ijumaa Julai 4, 2014
Mke wa rais Mama Salma Kikwete, akipeana mkikono na Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Adam Mayingu, alipotembelea banda la Mfuko huo kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam, viwanja vya Mwalimu JK Nyerere jijini Ijumaa Julai 4, 2014
Comments