TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAFAFANUA KUHUSU MCHAKATO WA UNUNUZI WA MASHINE ZA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGAKURA
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Julius Mallaba (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana, kuhusu ufafanuzi wa mchakato ulivyokuwa wa ununuzi wa vifaa ya Bimetric vya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Kulia ni Mkurugenzi wa Usimamizi wa Manunuzi wa tume hiyo, Gregory Kaijage. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Comments